Kila tarehe 25 Disemba watu wengu duniani kote, hujumuika katika sherehe za krismasi pamoja na familia na marafiki wao. SBS Swahili ilitembelea kanisa la Jesus Family Centre, ambalo liko katika kitongoji cha Cabramatta, NSW ambako baadhi ya waumini walichangia maoni yao nasi kuhusu krimasi.
Share






