Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Clement "Hatumuachi farao salama leo"

Nahodha wa D R Congo Clement na mdogo wake Charles

Nahodha wa D R Congo Clement na mdogo wake Charles Source: African Cup NSW

Vijana kutoka jamii ya D R Congo wanaingia dimbani leo dhidi ya Misri, katika mechi yao ya kwanza ya kombe la Afrika jijini Sydney, Australia.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Vijana kutoka jamii ya D R Congo wanaingia dimbani leo dhidi ya Misri, katika mechi yao ya kwanza ya kombe la Afrika jijini Sydney, Australia.


D R Congo ni mshindi wa zamani wa kombe hilo sawa na Misri, hata hivyo nahodha wa D R Congo Clement alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS kwamba, vijana wake wame jiandaa ipaswavyo na wako tayari kupata ushindi katika mechi yao ya kwanza ya kombe hilo.

Mechi ya D R Congo dhidi ya Misri ita anza saa kumi na moja jioni masaa ya mashariki ya Australia, katika uwanja wa Western Sydney Football Centre, Eastern Road, Rooty Hill, New South Wales, Australia.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now