D R Congo ni mshindi wa zamani wa kombe hilo sawa na Misri, hata hivyo nahodha wa D R Congo Clement alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS kwamba, vijana wake wame jiandaa ipaswavyo na wako tayari kupata ushindi katika mechi yao ya kwanza ya kombe hilo.
Clement "Hatumuachi farao salama leo"

Nahodha wa D R Congo Clement na mdogo wake Charles Source: African Cup NSW
Vijana kutoka jamii ya D R Congo wanaingia dimbani leo dhidi ya Misri, katika mechi yao ya kwanza ya kombe la Afrika jijini Sydney, Australia.
Share