Clement "Hatumuachi farao salama leo"

Nahodha wa D R Congo Clement na mdogo wake Charles

Nahodha wa D R Congo Clement na mdogo wake Charles Source: African Cup NSW

Vijana kutoka jamii ya D R Congo wanaingia dimbani leo dhidi ya Misri, katika mechi yao ya kwanza ya kombe la Afrika jijini Sydney, Australia.


D R Congo ni mshindi wa zamani wa kombe hilo sawa na Misri, hata hivyo nahodha wa D R Congo Clement alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS kwamba, vijana wake wame jiandaa ipaswavyo na wako tayari kupata ushindi katika mechi yao ya kwanza ya kombe hilo.

Mechi ya D R Congo dhidi ya Misri ita anza saa kumi na moja jioni masaa ya mashariki ya Australia, katika uwanja wa Western Sydney Football Centre, Eastern Road, Rooty Hill, New South Wales, Australia.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Clement "Hatumuachi farao salama leo" | SBS Swahili