Wakili wa umma katika Jumuhia ya Madola ameulizwa kuchunguza mfumo waku rejesha deni za Centrelink, huku kukiwa na ripoti za kutolewa kimakosa kwa ilani.
Mbunge huru Andrew Wilkie ameongezea sauti yake kwa kuikosoa mbinu ambayo ime ogopesha watu, nakuwafanya walipe deni ambazo hawadaiwi.
Share
