Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

D R Congo yawalisha fimbo vijana wa Farao

Vijana wa DR Congo washerehekea goli

Vijana wa DR Congo, washerehekea goli dhidi ya Misri katika kombe la Afrika jijini Sydney, Australia Source: SBS Swahili

Mechi za kwanza za kombe la Afrika zime anza naku kamilika kwa kishindo katika viwanja vya mazoezi vya Western Sydney Wanderers mjini Rooty Hill, New South Wales, Australia.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Mechi za kwanza za kombe la Afrika zime anza naku kamilika kwa kishindo katika viwanja vya mazoezi vya Western Sydney Wanderers mjini Rooty Hill, New South Wales, Australia.


Vijana wa D R Congo wali ingia dimbani dhidi ya Misri katika mechi ambayo, kihistoria huwa na changamoto zake na licha ya DR Congo kumaliza kipindi cha kwanza wakiwa na ushindi wa goli moja kwa sufuri, vijana wa Misri walionesha umahiri wao kwa kuzuia miamba ya DR Congo kuwatatiza.

Kipindi cha pili cha mechi hiyo kilianza sawia na kile cha kwanza, hali ambayo ilianza kuzua tumbo joto miongoni mwa mashabiki wa timu hizo mbili. Licha ya pandashuka za mechi hiyo, vijana wa DR Congo walionesha umahiri wao nakushinda mechi hiyo kwa magoli 4 kwa 1 ya Misri.

Punde baada ya mechi hiyo kuisha, mashabiki pamoja na nahodha wa DR Congo wali eleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS hisia zao kwa mechi hiyo. Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now