Miaka themanini iliyopita Februari 19, 1942, Japan ilifanya mashambulizi yakushtukiza dhidi ya Australia.
Ndege zakivita za Japan, zilishambulia mji wa Darwin kwa mabomu.
Jumamosi taifa lilikumbuka siku ambayo vita vilitembelea fukwe za Australia.
Kuhifadhi kumbukumbu ya tukio hili baya, kwa vizazi vijavyo.
Share






