Darwin ya adhimisha miaka 80 ya shambulizi katika vita vya pili vya dunia

Brian Winspear avaa sare zake zakijeshi

Brian Winspear alikuwa rubani katika jeshi la wanahewa wa Australia, wakati wa shambulizi dhidi ya Darwin. Source: Aneeta Bhole/SBS News

Miaka themanini iliyopita Februari 19, 1942, Japan ilifanya mashambulizi yakushtukiza dhidi ya Australia.


Ndege zakivita za Japan, zilishambulia mji wa Darwin kwa mabomu.

Jumamosi taifa lilikumbuka siku ambayo vita vilitembelea fukwe za Australia.

Kuhifadhi kumbukumbu ya tukio hili baya, kwa vizazi vijavyo.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Darwin ya adhimisha miaka 80 ya shambulizi katika vita vya pili vya dunia | SBS Swahili