Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Darwin ya adhimisha miaka 80 ya shambulizi katika vita vya pili vya dunia

Brian Winspear avaa sare zake zakijeshi

Brian Winspear alikuwa rubani katika jeshi la wanahewa wa Australia, wakati wa shambulizi dhidi ya Darwin. Source: Aneeta Bhole/SBS News

Miaka themanini iliyopita Februari 19, 1942, Japan ilifanya mashambulizi yakushtukiza dhidi ya Australia.


Published

By Aneeta Bhole

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Miaka themanini iliyopita Februari 19, 1942, Japan ilifanya mashambulizi yakushtukiza dhidi ya Australia.


Ndege zakivita za Japan, zilishambulia mji wa Darwin kwa mabomu.

Jumamosi taifa lilikumbuka siku ambayo vita vilitembelea fukwe za Australia.

Kuhifadhi kumbukumbu ya tukio hili baya, kwa vizazi vijavyo.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now