Kenya ime kabiliana na janga moja hadi lingine katika michuano ya Olimpiki mjini Rio de Janeiro, Brazil. Wakufunzi wawili walirejeshwa nyumbani mapema siku chache baada ya shirika la WADA kuondoa Kenya, katika orodha ya nchi ambazo hazi tekelezi masharti ya shirika hilo.
Hata hivyo David Lekuta Rudisha ameipa Kenya sababu yaku tabasamu baada yaku fanikiwa kudhibiti taji lake la mita 800. Ushindi huo uliipa Kenya nishani yapili ya dhahabu licha yaku kabiliwa na upinzani mkali.
SBS Swahili ili ilizungumza na baadhi ya wanachama wa jumuiya yawa Kalenjin wanao ishi mjini Sydney Australia, ambao walifunguka kuhusu utata ambao ume ikabili nchi yao katika michuano ya Olimpiki mjini Rio de Janeiro, Brazil.
Share
