Hoteli lakifahari nama ofisi yashambuliwa mjini Nairobi, Kenya

Washambulizi wanaswa kwenye video za ulinzi, mjini Nairobi, Kenya

Washambulizi wanaswa kwenye video za ulinzi, mjini Nairobi, Kenya Source: AP

Magaidi wame vamia hoteli yaki fahari, pamoja na jengo lenye maofisi mjini Nairobi, Kenya.


Idadi ya watu 21 wali fariki katika shambulizi hilo, na mamlaka wanatarajia idadi hiyo kuongezeka.

Wanamgambo waki somali wa al-Shabab, wame dai shambulizi hilo ambalo ni shambulizi la kwanza nchini Kenya katika miaka mitano.

Hospitali nchini Kenya zina endelea kutoa wito, kwa watu waendelee kutoa mchango wa damu.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service