Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Hoteli lakifahari nama ofisi yashambuliwa mjini Nairobi, Kenya

Washambulizi wanaswa kwenye video za ulinzi, mjini Nairobi, Kenya

Washambulizi wanaswa kwenye video za ulinzi, mjini Nairobi, Kenya Source: AP

Magaidi wame vamia hoteli yaki fahari, pamoja na jengo lenye maofisi mjini Nairobi, Kenya.


Published

Updated

By Charlotte Lam

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Magaidi wame vamia hoteli yaki fahari, pamoja na jengo lenye maofisi mjini Nairobi, Kenya.


Idadi ya watu 21 wali fariki katika shambulizi hilo, na mamlaka wanatarajia idadi hiyo kuongezeka.

Wanamgambo waki somali wa al-Shabab, wame dai shambulizi hilo ambalo ni shambulizi la kwanza nchini Kenya katika miaka mitano.

Hospitali nchini Kenya zina endelea kutoa wito, kwa watu waendelee kutoa mchango wa damu.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now