Magaidi wame vamia hoteli yaki fahari, pamoja na jengo lenye maofisi mjini Nairobi, Kenya.
Idadi ya watu 21 wali fariki katika shambulizi hilo, na mamlaka wanatarajia idadi hiyo kuongezeka.
Wanamgambo waki somali wa al-Shabab, wame dai shambulizi hilo ambalo ni shambulizi la kwanza nchini Kenya katika miaka mitano.
Hospitali nchini Kenya zina endelea kutoa wito, kwa watu waendelee kutoa mchango wa damu.
Share






