Hata hivyo shirika hilo limeendelea kuwa na shaka kuhusu uwezo wa serikali ya Turnbull kuboresha uchumi, wakati mweka hazina amedai kuwa serikali ita toa bajeti yenye ziada katika muda wa miaka mitano.
Mweka hazina Scott Morrison akitangaza ripoti ya MYEFO Source: AAP