Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Delphin "Nchi za Afrika Mashariki zinaweza jifunza mengi kupitia yaliyo tokea Rwanda?

Bi Delphin akiwa na kitabu alicho changia kuandika.jpg

Bi Delphin akiwa na kitabu alicho changia kuandika.

Kanda ya Afrika Mashariki ime kuwa na utulivu kwa muda mrefu, ila mivutano kati ya viongozi imekuwa ikitishia utulivu huo.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Kanda ya Afrika Mashariki ime kuwa na utulivu kwa muda mrefu, ila mivutano kati ya viongozi imekuwa ikitishia utulivu huo.


Kitabu cha Survivors Uncensored kina mifano kadhaa ya jinsi tofauti za wanasiasa zinaweza sababisha maafa makubwa katika nchi husika.

Katika mazungumzo maalum na mmoja wa waandishi wa kitabu hicho, Bi Delphin ali eleza SBS Swahili jinsi matukio ya mauaji ya kimbari dhidi ya watutsi nchini Rwanda, yanaweza kuwa funzo kwa nchi jirani katika kanda la Afrika Mashariki, pamoja na mwongozo wakuepuka kupitia uzoefu kama huo.

Kama ungependa soma kitabu cha Survivors Uncensored, unaweza kipata kwenye tovuti hii: https://www.amazon.com/SURVIVORS-UNCENSORED-TESTIMONIES-PRE-RESILIENCE/dp/B0B5KQSKQ8


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now