Delphin:"Tuna watu watakao gawa hela, nakufautilia kujua hela zinawafikia watu"

Watu watafuta hifadhi juu ya mabati katika mafuruko, Uvira Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

Watu watafuta hifadhi juu ya mabati katika mafuruko, Uvira Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Source: Sprouting Africa

Zoezi la kutafuta miili ya watu waliopoteza maisha linaendelea katika mji wa Uvira, mkoani Kivu Kusini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, baada ya kukumbwa na mafuriko katikati mwa wiki iliyopita.


Imeripotiwa kuwa takriban zaidi ya watu 65 walipoteza maisha na wengine wengi kujeruhiwa, huku nyumba kadhaa zikisombwa na maji.

Delphin, ndiye rais wajamii yawatu kutoka Congo wanao ishi nchini Australia, ame eleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS kile ambacho viongozi wa jamii wanafanya kuwasaidia wanachama wao nchini Australia pamoja na jamaa wao ambao wame athirika nchini Congo.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Delphin:"Tuna watu watakao gawa hela, nakufautilia kujua hela zinawafikia watu" | SBS Swahili