Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Delphin:"Tuna watu watakao gawa hela, nakufautilia kujua hela zinawafikia watu"

Watu watafuta hifadhi juu ya mabati katika mafuruko, Uvira Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

Watu watafuta hifadhi juu ya mabati katika mafuruko, Uvira Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Source: Sprouting Africa

Zoezi la kutafuta miili ya watu waliopoteza maisha linaendelea katika mji wa Uvira, mkoani Kivu Kusini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, baada ya kukumbwa na mafuriko katikati mwa wiki iliyopita.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Zoezi la kutafuta miili ya watu waliopoteza maisha linaendelea katika mji wa Uvira, mkoani Kivu Kusini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, baada ya kukumbwa na mafuriko katikati mwa wiki iliyopita.


Imeripotiwa kuwa takriban zaidi ya watu 65 walipoteza maisha na wengine wengi kujeruhiwa, huku nyumba kadhaa zikisombwa na maji.

Delphin, ndiye rais wajamii yawatu kutoka Congo wanao ishi nchini Australia, ame eleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS kile ambacho viongozi wa jamii wanafanya kuwasaidia wanachama wao nchini Australia pamoja na jamaa wao ambao wame athirika nchini Congo.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now