Delphine "Jamii imepokea kazi zetu vizuri ila, tunahitaji waje tushirikiane nao zaidi"

Bw Noel na Bi Delphine, viongozi wa shirika la AAAC wakiwa mbele ya banda lao kwenye tamasha ya Africultures 2023.jpg

Jumuiya zawa Afrika wanao ishi mjini Sydney, walijumuika katika viwanja kwa Sydney Olympic Park kwa tamasha ya Africultures 2 Septemba 2023.


Viongozi wa shirika la African Australian Advocacy Centre, walikuwa miongoni mwa walio jumuika katika hafla hiyo ambako walikuwa wakitoa taarifa kwa jamii karibu ya banda lao.

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, viongozi wa shirika hilo Bw Noel na Bi Delphine, wali funguka kuhusu kazi wanazo fanya na jinsi wadau wanavyo pokea kazi zao.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service