Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Delphine "Jamii imepokea kazi zetu vizuri ila, tunahitaji waje tushirikiane nao zaidi"

Bw Noel na Bi Delphine, viongozi wa shirika la AAAC wakiwa mbele ya banda lao kwenye tamasha ya Africultures 2023.jpg

Jumuiya zawa Afrika wanao ishi mjini Sydney, walijumuika katika viwanja kwa Sydney Olympic Park kwa tamasha ya Africultures 2 Septemba 2023.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Jumuiya zawa Afrika wanao ishi mjini Sydney, walijumuika katika viwanja kwa Sydney Olympic Park kwa tamasha ya Africultures 2 Septemba 2023.


Viongozi wa shirika la African Australian Advocacy Centre, walikuwa miongoni mwa walio jumuika katika hafla hiyo ambako walikuwa wakitoa taarifa kwa jamii karibu ya banda lao.

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, viongozi wa shirika hilo Bw Noel na Bi Delphine, wali funguka kuhusu kazi wanazo fanya na jinsi wadau wanavyo pokea kazi zao.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now