Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Dini lina nafasi gani wakati wa janga na maombolezi?

Watu waomboleza mauaji nchini Marekani

Watu waomboleza mauaji nchini Marekani Source: The New York Times

Watu wengi wali imarisha imani zao janga la COVID-19, lilipo lipuka nakudai maisha yawatu wengi duniani kote.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Watu wengi wali imarisha imani zao janga la COVID-19, lilipo lipuka nakudai maisha yawatu wengi duniani kote.


Je dini na viongozi wakidini wana nafasi gani yakutoa faraja, hususan wakati walio fiwa wamekuwa wame shiriki katika ibada na sala wakimsihi Mungu amponye/amwokoe mpendwa wao.

Mchungaji John Omari kutoka kanisa la Jesus Family Centre (JFC) jijini Cabramatta, NSW, alijibu baadhi ya maswali haya katika mazungumzo maalum tuliyo fanya naye.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now