Dini lina nafasi gani wakati wa janga na maombolezi?

Watu waomboleza mauaji nchini Marekani

Watu waomboleza mauaji nchini Marekani Source: The New York Times

Watu wengi wali imarisha imani zao janga la COVID-19, lilipo lipuka nakudai maisha yawatu wengi duniani kote.


Je dini na viongozi wakidini wana nafasi gani yakutoa faraja, hususan wakati walio fiwa wamekuwa wame shiriki katika ibada na sala wakimsihi Mungu amponye/amwokoe mpendwa wao.

Mchungaji John Omari kutoka kanisa la Jesus Family Centre (JFC) jijini Cabramatta, NSW, alijibu baadhi ya maswali haya katika mazungumzo maalum tuliyo fanya naye.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service