Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Hatimae vikao vya tume ya uchunguzi za dhulma dhidi ya walemavu vya anza

Seneta wa chama cha Australian Greens Jordon Steele-John.

Seneta wa chama cha Australian Greens Jordon Steele-John, akizungumza ndani ya seneti. Source: AAP

Tume yakifamle inayo chunguza maswala ya unyanyasaji, dhulma, kupuuza na unyonyaji dhidi ya watu wenye ulemavu inaendelea.


Published

By Evan Young

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Tume yakifamle inayo chunguza maswala ya unyanyasaji, dhulma, kupuuza na unyonyaji dhidi ya watu wenye ulemavu inaendelea.


Wanaharakati wanao tetea haki za walemavu wamesema, wa Australia wanastahili tarajia kusikia hadithi zakutisha, katika vikao vya tume hiyo.

Ila idadi inayo endelea kuongezeka ya wanaharakati wengine, wanasema wanaweza kosa kuhudhuria vikao hivyo ambavyo vimesubiriwa kwa muda wa miaka mitatu, kwa sababu ya shutma za mgongano wa maslahi.

Makamishna wa tume hiyo, wame elezwa watoe ripoti ya kwanza kufikia tarehe 30 Oktoba mwaka wa 2020, na ripoti ya mwisho itatolewa tarehe 29 Aprili mwaka wa 2022.

Uchunguzi huo utafanyiwa Brisbane ila, vikao vyake vita pelekwa nchini kote. Watu wanaweza pia toa ushahidi wao mtandaoni.

Na kama wewe au mtu unaye jua anahitaji msaada, unaweza pigia simu mashirika kama Lifeline kwa namba hii 13 11 14 na Dhulma ya ulemavu ya kitaifa nakupuuza kwa namba hii 1800 880 052.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now