Hatimae vikao vya tume ya uchunguzi za dhulma dhidi ya walemavu vya anza

Seneta wa chama cha Australian Greens Jordon Steele-John.

Seneta wa chama cha Australian Greens Jordon Steele-John, akizungumza ndani ya seneti. Source: AAP

Tume yakifamle inayo chunguza maswala ya unyanyasaji, dhulma, kupuuza na unyonyaji dhidi ya watu wenye ulemavu inaendelea.


Wanaharakati wanao tetea haki za walemavu wamesema, wa Australia wanastahili tarajia kusikia hadithi zakutisha, katika vikao vya tume hiyo.

Ila idadi inayo endelea kuongezeka ya wanaharakati wengine, wanasema wanaweza kosa kuhudhuria vikao hivyo ambavyo vimesubiriwa kwa muda wa miaka mitatu, kwa sababu ya shutma za mgongano wa maslahi.

Makamishna wa tume hiyo, wame elezwa watoe ripoti ya kwanza kufikia tarehe 30 Oktoba mwaka wa 2020, na ripoti ya mwisho itatolewa tarehe 29 Aprili mwaka wa 2022.

Uchunguzi huo utafanyiwa Brisbane ila, vikao vyake vita pelekwa nchini kote. Watu wanaweza pia toa ushahidi wao mtandaoni.

Na kama wewe au mtu unaye jua anahitaji msaada, unaweza pigia simu mashirika kama Lifeline kwa namba hii 13 11 14 na Dhulma ya ulemavu ya kitaifa nakupuuza kwa namba hii 1800 880 052.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service