Majadiliano: Mvutano wa Biashara baina ya China na Marekani waongezeka

The Huawei booth at a Chinese 5G technology expo

The Huawei booth at a Chinese 5G technology expo Source: Reuters

Zuio la Marekani kwa kampuni ya simu ya Huawei umeifanya kampuni hiyo kubwa ya mawasiliano ya simu ya Kichina kuwa kinara wa mtazamo mkubwa wa ushirikiano kiuchumi na teknolojia kati ya Mataifa hayo mawili yenye nguvu.


Hiyo inafuata, baada ya Marekani kuamua kuizuia Huawei kwenye soko la Marekani na kupiga marufuku mauzo ya teknolojia ya Marekani na vifaa kwa kampuni hiyo, China iliionya Washington dhidi ya vikwazo zaidi vya  mahusiano ya kibiashara.

Frank Mtao alikutana na wataalam watatu ambao wanafanya kazi katika nyanja tofauti kuhusiana na biashara na mawasiliano ili kujadili juu ya mvutano huu kutoka kwa mataifa makubwa.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service