Djuma "maandalizi yetu kwa mashindano ya mwisho wa mwaka yana endelea vizuri"

Djuma, mmoja wa viongozi wa timu ya mpira wa miguu ya vijana kutoka DR Congo.

Djuma, mmoja wa viongozi wa timu ya mpira wa miguu ya vijana kutoka DR Congo. Source: SBS Swahili

Kundi la vijana kutoka jamii yenye asili ya Jamhuri yakidemokrasia ya Congo wanao ishi mjini Sydney, lina ongeza kasi ya maandalizi kwa mashindano ya mchezo wa mpira wa miguu ya mwisho wa mwaka.


Katika sehemu ya maandalizi hayo, vijana wa jamii hiyo wame kuwa wakicheza mechi zakirafiki pamoja nakushiriki katika kombe lililo andaliwa na shirika la ASSIDA, kama sehemu ya sherehe za uhuru wa taifa la Jamhuri yakidemokrasia ya Congo.

Bw Djuma ni mmoja wa viongozi wa timu hiyo, alieleza SBS Swahili jinsi maandalizi yao yana endelea, changamoto wanazo kabili pamoja na matarajio yao kwa michuano watakayo shiriki.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Djuma "maandalizi yetu kwa mashindano ya mwisho wa mwaka yana endelea vizuri" | SBS Swahili