Kundi la vijana kutoka jamii yenye asili ya Jamhuri yakidemokrasia ya Congo wanao ishi mjini Sydney, lina ongeza kasi ya maandalizi kwa mashindano ya mchezo wa mpira wa miguu ya mwisho wa mwaka.
Katika sehemu ya maandalizi hayo, vijana wa jamii hiyo wame kuwa wakicheza mechi zakirafiki pamoja nakushiriki katika kombe lililo andaliwa na shirika la ASSIDA, kama sehemu ya sherehe za uhuru wa taifa la Jamhuri yakidemokrasia ya Congo.
Bw Djuma ni mmoja wa viongozi wa timu hiyo, alieleza SBS Swahili jinsi maandalizi yao yana endelea, changamoto wanazo kabili pamoja na matarajio yao kwa michuano watakayo shiriki.
Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.
Share






