Dkt Annefrida "Spika Ackson ameshindwa kusimamia demokrasia ndani ya bunge"

Dkt Tulia Ackson, Spika wa bunge la Tanzania..jpg

Shirika la kutetea haki za binaadamu la Human Rights Watch limeitolea mwito serikali ya Tanzania kuacha kuwakandamiza wakosoaji wake baada ya mamlaka za nchi hiyo kuwakamata watu wanaopinga mkataba wa uendeshaji bandari.


Wakati huo huo kundi la wanaharakati kwa jina la Sauit ya watanzania, nalo lime ongeza juhudi kupinga hatua ya Spika wa bunge la Tanzania, Dkt Tulia Ackson kuwania wadhifa wa bunge lakimataifa IPU.

Dkt Annefrida kutoka Sauti ya watanzania ali eleza SBS Swahili kwa nini kundi lake linapinga ugombea wa Dkt Ackson.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service