Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Dkt Damascent aweka wazi jinsi yaku epuka saratani ya tezi dume

Diagnosing and treatment of prostate cancer

Diagnosing and treatment of prostate cancer Credit: Flickr/Darryl Leja, NHGRI CC BY 2.0

Afya ni moja ya vitu ambavyo wanaume wengi kote duniani hufeli kutilia maanani, wengi wao wakisubiri hadi wanakuwa katika hali mbaya zaidi kupata huduma.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Afya ni moja ya vitu ambavyo wanaume wengi kote duniani hufeli kutilia maanani, wengi wao wakisubiri hadi wanakuwa katika hali mbaya zaidi kupata huduma.


Katika mazungumzo maaalum na SBS Swahili, Dkt Damascent alizungumza kwa upana kuhusu moja yamagonjwa ambayo huwakabili wanaume, na umuhimu wa wanaume kufanyiwa uchunguzi wa mara kwa mara wa afya.

Dkt Damascent, alifunguka pia kuhusu baadhi ya vitu vinavyo sababisha magonjwa kama saratani ya tezi dume, na jinsi inaweza tambuliwa mapema nakumpangilio wa tiba yake.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now