Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Dominic"bidii ambayo wachezaji wetu wanaweka katika timu ya taifa na vilabu vyoa ni tofauti"

Bw Dominic, Mwenyekiti wa Jamii ya DR Congo mjini Sydney, NSW, Australia.JPG

Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, yamezalisha wachezaji wengi na wenye viwango vya juu sana, ila mafanikio ni haba katika nyanja zakimataifa kwa nchi hizo.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, yamezalisha wachezaji wengi na wenye viwango vya juu sana, ila mafanikio ni haba katika nyanja zakimataifa kwa nchi hizo.


Hali hiyo imesababisha wadau wengi kuhoji ni wapi mataifa hayo yana kwama, na kwa nini viongozi husika hawajifunzi kutoka wenzao katika mataifa yenye fanikio zaidi katika sekta hiyo.

Bw Dominic ni Mwenyekiti wa Jamii yawatu kutoka DR Congo wanao ishi mjini Sydney, NSW, Australia. Katika mazungumzo maalum wakati wa mechi ya timu ya vijana wa jamii yake, alifunguka kuhusu changamoto zinazo kabili timu za kanda ya Afrika ya Kati na jinsi yakupata suluhu kwa changamoto hizo.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now