Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Dor Jok: "Vijana wengi hapa wanaweza cheza katika A-League wakipewa fursa"

Garang Kuol (kushoto) Dor Jok (kulia) Wachezaji wa Central Coast Mariners FC.jpg

Lengo la vijana wengi wanao cheza mpira wa miguu nchini Australia, nikuwa wachezaji wakulipwa na hata kushiriki katika michuano yakimataifa.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Lengo la vijana wengi wanao cheza mpira wa miguu nchini Australia, nikuwa wachezaji wakulipwa na hata kushiriki katika michuano yakimataifa.


Ila, si wote ambao ndoto zao hutimia. Dor Jok ni mmoja wa vijana wenye asili ya Sudan Kusini kutoka Perth, Magharibi Australia.

Jamii ya watu kutoka Sudan Kusini imekuwa ikizalisha vijana wengi wenye vipaji vikubwa ambao wengi wao kwa sasa wanacheza mpira wa miguu wakulipwa Dor Jok akiwa mmoja wao.

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, Bw Dor alifunguka kuhusu alivyo pata fursa yakuwa mchezaji wakulipwa pamoja nakutoa hamasa kwa vijana wenza wanao tafuta fursa hizo.

Bw Dor alifunguka pia kuhusu furaha yake, kwa uhamisho wa rafiki yake Garang Kuol kutoka Central Coast Mariners FC, kwenda Newcastle United FC ya Uingereza.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now