Jean-Yves Le Drain ndiye waziri wa kigeni wa France, naye pia anaomba uwazi katika matokeo ya urais ya DRC.
Ameongezea kuwa matokeo hayo haya, ambatani na matokeo ya hesabu ya kura ya kanisa katoliki ya Congo.

Felix Tshisekedi Tshilombo atangazwa rais mteuli wa DR Congo Source: AP
Ameongezea kuwa matokeo hayo haya, ambatani na matokeo ya hesabu ya kura ya kanisa katoliki ya Congo.

SBS World News