Mashaka yazingira tangazo la rais mteule wa DRC

Felix Tshisekedi Tshilombo atangazwa rais mteuli wa DR Congo

Felix Tshisekedi Tshilombo atangazwa rais mteuli wa DR Congo Source: AP

Kiongozi wa upinzani Felix Tshisekedi ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais wa Jamuhuri ya Demokrasia ya Congo, katika matokeo ambayo yame washangaza watu wengi, naku zua gumzo miongoni mwa baadhi ya watu ambao wame hoji uhalali wa kura uchaguzi huo.


Jean-Yves Le Drain ndiye waziri wa kigeni wa France, naye pia anaomba uwazi katika matokeo ya urais ya DRC.

Ameongezea kuwa matokeo hayo haya, ambatani na matokeo ya hesabu ya kura ya kanisa katoliki ya Congo.

Wingu la tuhuma za kuingilia kati ya uchaguzi, kume haribu sifa ya ukabidhaji wa madaraka kwa amani kwa mara ya kwanza nchini DR Congo, miaka 59 baada ya taifa hilo kupata uhuru.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service