Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Douglas: "Usalama wa mitandao ume imarishwa sana kwa uchaguzi wa 2020 wa Marekani"

Usalama wa mtandaoni

Kampeni za uchaguzi duniani kote zimechukua mifumo tofauti kuwavutia na kuwashawili wapiga kura.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Kampeni za uchaguzi duniani kote zimechukua mifumo tofauti kuwavutia na kuwashawili wapiga kura.


Baadhi ya mifumo hiyo nikupitia kusambazwa kwa taarifa za uongo kuhusu wagombea au vyama pinzani kwa ajili yaku yumbisha imani na uvutio wa wapiga kura wa wagombea/vyama hivyo.

Katika uchaguzi mkuu uliopita nchini Marekani, mashirika, na nchi kadhaa zilishtumiwa kwakushiriki kusambaza taarifa za uongo katika kampeni za uchaguzi wa rais. Douglas ni mtaalam wa maswala ya teknolojia na usalama wa mitandaoni anaye ishi katika jimbo la Arizona nchini Marekani. Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, Bw Douglas aliweka wazi jinsi usalama wa mitandao ume imarishwa nchini Marekani haswa wakati huu wa uchaguzi mkuu.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now