Douglas: "Usalama wa mitandao ume imarishwa sana kwa uchaguzi wa 2020 wa Marekani"

Usalama wa mtandaoni

Source: DPA

Kampeni za uchaguzi duniani kote zimechukua mifumo tofauti kuwavutia na kuwashawili wapiga kura.


Baadhi ya mifumo hiyo nikupitia kusambazwa kwa taarifa za uongo kuhusu wagombea au vyama pinzani kwa ajili yaku yumbisha imani na uvutio wa wapiga kura wa wagombea/vyama hivyo.

Katika uchaguzi mkuu uliopita nchini Marekani, mashirika, na nchi kadhaa zilishtumiwa kwakushiriki kusambaza taarifa za uongo katika kampeni za uchaguzi wa rais. Douglas ni mtaalam wa maswala ya teknolojia na usalama wa mitandaoni anaye ishi katika jimbo la Arizona nchini Marekani. Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, Bw Douglas aliweka wazi jinsi usalama wa mitandao ume imarishwa nchini Marekani haswa wakati huu wa uchaguzi mkuu.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Douglas: "Usalama wa mitandao ume imarishwa sana kwa uchaguzi wa 2020 wa Marekani" | SBS Swahili