Wahanga wa unyanyasaji wa mahari, waomba hatua zichukuliwe wakati chama cha Labor cha ahidi jibu

Mchumba waki hindi aonesha mapambo ya hena kwenye mkono wake katika sherehe ya harusi yake

Mchumba waki hindi aonesha mapambo ya hena kwenye mkono wake katika sherehe ya harusi yake Source: AAP

Wataaalam na wahanga wame sema kwa sauti moja kuwa, unyanyasaji wa mahari ni tatizo nchini Australia.


Kongamano mjini Sydney lime leta pamoja makundi tofauti, kujadili jinsi yaku kabiliana na tatizo hilo.

Chama cha upinzani cha shirikisho kimeahidi kubadili sheria iwapo kitashinda uchaguzi, na Linda Burney ambaye ni msemaji wa upinzani kwa swala lakuzuia vurugu ya familia, ali eleza kongamano hilo kuwa chama cha Labor kina kubali mapendekezo ya msingi katika ripoti hiyo ya seneti.

Julian Hill ni mbunge wa chama cha Labor, ameiomba serikali ioneshe ujasiri na utu na ichukulie swala hilo hatua. Amesema kwamba msimamo mmoja wakitaifa, unahitajika kutatua tatizo hilo.

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service