Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wahanga wa unyanyasaji wa mahari, waomba hatua zichukuliwe wakati chama cha Labor cha ahidi jibu

Mchumba waki hindi aonesha mapambo ya hena kwenye mkono wake katika sherehe ya harusi yake

Mchumba waki hindi aonesha mapambo ya hena kwenye mkono wake katika sherehe ya harusi yake Source: AAP

Wataaalam na wahanga wame sema kwa sauti moja kuwa, unyanyasaji wa mahari ni tatizo nchini Australia.


Published

Updated

By Sunil Awasthi, Nick Baker

Presented by Jean-Paul Amedee Nizigama

Source: SBS




Share this with family and friends


Wataaalam na wahanga wame sema kwa sauti moja kuwa, unyanyasaji wa mahari ni tatizo nchini Australia.


Kongamano mjini Sydney lime leta pamoja makundi tofauti, kujadili jinsi yaku kabiliana na tatizo hilo.

Chama cha upinzani cha shirikisho kimeahidi kubadili sheria iwapo kitashinda uchaguzi, na Linda Burney ambaye ni msemaji wa upinzani kwa swala lakuzuia vurugu ya familia, ali eleza kongamano hilo kuwa chama cha Labor kina kubali mapendekezo ya msingi katika ripoti hiyo ya seneti.

Julian Hill ni mbunge wa chama cha Labor, ameiomba serikali ioneshe ujasiri na utu na ichukulie swala hilo hatua. Amesema kwamba msimamo mmoja wakitaifa, unahitajika kutatua tatizo hilo.

 

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now