SBS Swahili ilizungumza na Bw Theophile Elongo, mwenyekiti wa jamii yawatu kutoka Jamuhuri yademokrasia ya Kongo, kuhusu kifo cha aliye kuwa kiongozi mkuu wa chama cha upinzani nchini humu.
Maelfu yawatu wamejitokeza nchini Ubelgiji ambako Bw Tshisekedi alikuwa akipokea matibabu, kutoa heshima zao za mwisho.
Etienne Tshisekedi Wa Mulumbu anajulikana kama baba wa demokrasia, alikuwa waziri mkuu wa zamani pamoja na mwanzilishi na kiongozi wa moja ya vyama vikuu vya upinzani nchini DR Congo.
Matukio mengine kama hayo yana endelea ulimwenguni kote. Viongozi wa jamii yawatu kutoka jamuhuri yakidemokrasia ya Kongo nao wame andaa tukio kama hilo mjini Sydney, Australia.
Share
