Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

DR Congo tayari kutetea kombe lao la Afrika la Sydney, NSW

Bingwa watetezi wa michuano ya kombe ya Afrika ya Sydney, DR Congo tayari kutetea taji lao

Bingwa watetezi wa michuano ya kombe ya Afrika ya Sydney, DR Congo tayari kutetea taji lao Source: ANSA African Cup2019

Michuano ya soka ya kombe ya Afrika, kwa jamii za Sydney, NSW imeingia katika hatua ya robo fainali.


Published

By Frank Mtao

Presented by Gode Migerano, Frank Mtao

Source: SBS



Share this with family and friends


Michuano ya soka ya kombe ya Afrika, kwa jamii za Sydney, NSW imeingia katika hatua ya robo fainali.


Michuano hiyo huleta jamii tofauti zaki Afrika pamoja, na hutoa fursa kwa wanachama husika kujumuika nakuchangia uzoefu wao wa maisha na mbinu zaku tatua changamoto zinazo wakabili nchini Australia.

Tanzania inawakilisha jamii za Afrika Mashariki katika robo fainali ya michuano hiyo, na bingwa watetezi DR Congo wako tayari kutetea kombe lao.

Bofya hapo juu kwa makala kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now