DR Congo yatinga robo fainali ya kombe la Afrika la NSW

Wachezaji wa timu ya DR Congo ya NSW wazungumza na SBS Swahili baada yakutinga robo fainali ya michuano ya kombe la Afrika la NSW Source: SBS Swahili
Shirika la ANSA, huandaa michuano ya soka kwa niaba ya jamii zaki Afrika mjini Sydney, New South Wales.
Share