Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Dr Eugen Bacon aweka wazi siri za uandishi wa vitabu

Dr Eugen Bacon ame chapisha kitabu chake cha nane

Dr Eugen Bacon ame chapisha kitabu chake cha nane Source: Dr Eugen Bacon

Ni nadra kuona vitabu vilivyo andikwa nakuchapishwa na mtu mwenye asili ya Afrika nchini Australia. Ila Dr Eugen anabadilisha hali hiyo.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Ni nadra kuona vitabu vilivyo andikwa nakuchapishwa na mtu mwenye asili ya Afrika nchini Australia. Ila Dr Eugen anabadilisha hali hiyo.


Dr Eugen Bacon ni mkaaji wa Melbourne mwenye asili ya Tanzania. Amechapisha kitabu chake cha nane kwa jina la Danged Black Thing, kitabu hicho kina jumuisha hadithi kadhaa kuhusu upendo, uhamiaji, jinsia katika bara la Afrika na ughaibuni.

Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, Dr Eugen alitueleza kilicho mshawishi kuwa mwandishi wa vitabu pamoja nakuchangia siri zakufanikiwa kama unataka kuwa mwandishi wa vitabu.

Unaweza wasiliana nakupata maelezo zaidi kuhusu vitabu vya Dr Eugen hapa: www.eugenbacon.com @EugenBacon

 

 

  


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now