Dr Joel Kimeto afunguka kuhusu safari yake katika sanaa

Dr Joel Kimeto ndani ya studio ya SBS Radio.JPG

Dr Joel Kimeto ni msanii maarufu wa nyimbo za injili ndani na nje ya Kenya.


Dr Kimeto ana mchango mkubwa katika ukuaji wa wasanii wengi wakisasa wa injili nchini Kenya.

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, alifunguka kuhusu kilicho mvutia kuwa masanii, pamoja na uzoefu wake katika sanaa.

Dr Kimeto ambaye pia ni mchungaji mstaafu, alifunguka kuhusu mauaji yawaumini katika eneo la shakahola.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Dr Joel Kimeto afunguka kuhusu safari yake katika sanaa | SBS Swahili