Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Dr Masengo: "Kuna mbinu nne zaku tatua changamoto unazo kabili"

Askofu Dkt Fidele Masengo.jpg

Watu wengi duniani wanakabiliana na changamoto za kila aina, ambazo huwapa hisia ni kama hazina suluhu.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Watu wengi duniani wanakabiliana na changamoto za kila aina, ambazo huwapa hisia ni kama hazina suluhu.


Askofu Dkt Fidele Masengo, ni mwanasheria pamoja nakuwa Askofu anaye ongoza kanisa kubwa nchini Rwanda.

Alipomaliza ziara yake nchini Australia siku chache zilizo pita, alizungumza na SBS Swahili ambapo aliweka wazi jinsi taaluma yake ya uanasheria inavyo endana sawa na taaluma yake ya Uaskofu.

Katika mahojiano hayo Askofu Dkt Masengo, alichangia mbinu nne ambazo watu wanaweza tumia kukabiliana na changamoto wanazo pitia katika kila hali ya maisha yao.

Askofu Dkt Masengo ni mwandishi wakitabu kwa jina la: The Marriage of your Dreams (Ndoto ya ndoa yako) ambacho unaweza kipata kwenye tovuti ya Amazon.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now