Dr Masengo: "Kuna mbinu nne zaku tatua changamoto unazo kabili"

Askofu Dkt Fidele Masengo.jpg

Watu wengi duniani wanakabiliana na changamoto za kila aina, ambazo huwapa hisia ni kama hazina suluhu.


Askofu Dkt Fidele Masengo, ni mwanasheria pamoja nakuwa Askofu anaye ongoza kanisa kubwa nchini Rwanda.

Alipomaliza ziara yake nchini Australia siku chache zilizo pita, alizungumza na SBS Swahili ambapo aliweka wazi jinsi taaluma yake ya uanasheria inavyo endana sawa na taaluma yake ya Uaskofu.

Katika mahojiano hayo Askofu Dkt Masengo, alichangia mbinu nne ambazo watu wanaweza tumia kukabiliana na changamoto wanazo pitia katika kila hali ya maisha yao.

Askofu Dkt Masengo ni mwandishi wakitabu kwa jina la: The Marriage of your Dreams (Ndoto ya ndoa yako) ambacho unaweza kipata kwenye tovuti ya Amazon.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Dr Masengo: "Kuna mbinu nne zaku tatua changamoto unazo kabili" | SBS Swahili