Changamoto za upatikanaji wa maji DRC

mvulana achota maji kando ya barabara

mvulana achota maji kando ya barabara Source: SBS Swahili

Wakaazi wa mji wa BUKAVU mkoani Kivu Kusini,wanakabiliwa na tatizo lauhaba wa maji.


Wengi wa wakaazi hao ulazimika kuvuka mpaka na kujisaidia maji katika mchi jirani ya Rwanda huku wakilazimika kulipa pesa zaidi.

Mwandishi wa SBS nchini DRC Byobe Malenga alitembelea katika mji wa Bukavu nakutuandalia makala ifuatayo.

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service