Wakaazi wa mji wa BUKAVU mkoani Kivu Kusini,wanakabiliwa na tatizo lauhaba wa maji.
Wengi wa wakaazi hao ulazimika kuvuka mpaka na kujisaidia maji katika mchi jirani ya Rwanda huku wakilazimika kulipa pesa zaidi.
Mwandishi wa SBS nchini DRC Byobe Malenga alitembelea katika mji wa Bukavu nakutuandalia makala ifuatayo.
Share





