Wakulima wanao kabiliwa kwa ukame mkali, wapata afueni toka kwa serikali ya Australia

Mifugo yawakulima wa NSW yakabiliwa kwa ukame mkali

Mifugo yawakulima wa NSW yakabiliwa kwa ukame mkali Source: Getty Images

Serikali ya Turnbull imetangaza kuwa inatoa mfuko mpya wa msaada wa dola milioni lakimoja elfu tisini, kwa wakulima wanao kabiliwa kwa hali ambayo ime zungumziwa kuwa moja ya ukame mbaya zaidi katika karne iliyo pita.


Uwekezaji huo, unao jumuisha jeki kwa huduma za afya ya akili, ina fikisha jibu la serikali ya shirikisho kwa ukame huo kufikia dola milioni laki tano elfu sabini na sita.

Shirika linalo wakilisha wakulima nchini, limesema uwekezaji huo utaleta afueni ambayo wakulima wanahitaji sana.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service