Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wakulima wanao kabiliwa kwa ukame mkali, wapata afueni toka kwa serikali ya Australia

Mifugo yawakulima wa NSW yakabiliwa kwa ukame mkali

Mifugo yawakulima wa NSW yakabiliwa kwa ukame mkali Source: Getty Images

Serikali ya Turnbull imetangaza kuwa inatoa mfuko mpya wa msaada wa dola milioni lakimoja elfu tisini, kwa wakulima wanao kabiliwa kwa hali ambayo ime zungumziwa kuwa moja ya ukame mbaya zaidi katika karne iliyo pita.


Published

Updated

By Samantha Beniac-Brooks

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Serikali ya Turnbull imetangaza kuwa inatoa mfuko mpya wa msaada wa dola milioni lakimoja elfu tisini, kwa wakulima wanao kabiliwa kwa hali ambayo ime zungumziwa kuwa moja ya ukame mbaya zaidi katika karne iliyo pita.


Uwekezaji huo, unao jumuisha jeki kwa huduma za afya ya akili, ina fikisha jibu la serikali ya shirikisho kwa ukame huo kufikia dola milioni laki tano elfu sabini na sita.

Shirika linalo wakilisha wakulima nchini, limesema uwekezaji huo utaleta afueni ambayo wakulima wanahitaji sana.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now