Ripoti hiyo imejiri wakati zaidi ya shule mia nne za kuwafunza watu kuogelea nchini kote, zinajianda kutoa mafunzo ya kuogelea bila malipo kwa watoto kwa muda wa wiki nzima.
Visa vya kuzama majini vyapungua, ila watoto wadogo wanaendelea kuzua wasi wasi

Muokoaji amtafuta muogeleaji aliye potea ndani ya mto. Source: AAP
Utafiti mpya umebaini kuwa moja kati ya vifo vinne vya kuzama majini nchini Australia, vinawahusu watu ambao walizaliwa ng'ambo.
Share




