Visa vya kuzama majini vyapungua, ila watoto wadogo wanaendelea kuzua wasi wasi

Muokoaji amtafuta muogeleaji aliye potea ndani ya mto

Muokoaji amtafuta muogeleaji aliye potea ndani ya mto. Source: AAP

Utafiti mpya umebaini kuwa moja kati ya vifo vinne vya kuzama majini nchini Australia, vinawahusu watu ambao walizaliwa ng'ambo.


Ripoti hiyo imejiri wakati zaidi ya shule mia nne za kuwafunza watu kuogelea nchini kote, zinajianda kutoa mafunzo ya kuogelea bila malipo kwa watoto kwa muda wa wiki nzima.

Lengo la kampeni hiyo ni kuongezea uelewa kuhusu usalama majini, kwa watoto wa wahamiaji pamoja na watoto wengine.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service