Waziri wa uhamiaji Peter Dutton ame mlaumu kiongozi wa upinzani kwaku zusha hisia hasi katika jumuiya, pamoja naku potosha maoni yake kuhusu jumuiya yawa Islamu kutoka Lebanon.
Bw Dutton amesema alikuwa akifanya majadiliano ya uaminifu kuhusu uhamiaji na hata badili maoni yake.
Share
