Bill Shorten alichaguliwa kuwa kiongozi wa chama cha Labor mwaka wa 2013, hatua hiyo ilikamilisha ndoto zakiongozi huyo wa zamani wa chama chawafanyakazi.
Bw Shorten amefanikiwa kusalia kama kiongozi wa chama hicho cha upinzani, kwa muda mrefu zaidi kuliko watangulizi wake katika historia ya chama hicho.
Na matokeo ya kura ya maoni yanadokeza kunaweza kuwa mengi zaidi.
Share






