Uchaguzi 2019: Bill Shorten

Kiongozi wa chama cha Labor, Bill Shorten

Kiongozi wa chama cha Labor, Bill Shorten azungumza katika kampeni ya uchaguzi mkuu wa shirikisho Source: AAP

Bill Shorten alichaguliwa kuwa kiongozi wa chama cha Labor mwaka wa 2013, hatua hiyo ilikamilisha ndoto zakiongozi huyo wa zamani wa chama chawafanyakazi.


Bw Shorten amefanikiwa kusalia kama kiongozi wa chama hicho cha upinzani, kwa muda mrefu zaidi kuliko watangulizi wake katika historia ya chama hicho.

Na matokeo ya kura ya maoni yanadokeza kunaweza kuwa mengi zaidi.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service