Uchaguzi mkuu 2019: Scott Morrison

Waziri Mkuu Scott Morrison azungumza katika kampeni ya chama cha Liberal National

Waziri Mkuu Scott Morrison azungumza katika kampeni ya chama cha Liberal National mjini Brisbane, Queensland. Source: AAP

Scott Morrison alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa Australia wa thelathini Agosti mwaka jana, baada ya kura ya uongozi ndani ya chama cha Liberal, ikiwa ni baada ya machafuko ya vita vya wenyewe kwa wenyewe vya uongozi ndani chama hicho.


Bw Morrison alipewa ajira hiyo baada ya mrengo wakihafidhina wa chama hicho, kushindwa kuvumilia uwezo wa waziri mkuu wa zamani Malcolm Turnbull, kupitisha bungeni sera zake muhimu za nishati namakato ya kodi.

Tangu tukio hilo, imeonekana kama Bw Morrision ameunganisha tena chama cha Liberals, ila kuna baadhi ya wanachama ambao hawana uhakika kama atafanikiwa kuongoza chama cha mseto kupata ushindi katika uchaguzi mkuu.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service