Bw Morrison alipewa ajira hiyo baada ya mrengo wakihafidhina wa chama hicho, kushindwa kuvumilia uwezo wa waziri mkuu wa zamani Malcolm Turnbull, kupitisha bungeni sera zake muhimu za nishati namakato ya kodi.
Uchaguzi mkuu 2019: Scott Morrison

Waziri Mkuu Scott Morrison azungumza katika kampeni ya chama cha Liberal National mjini Brisbane, Queensland. Source: AAP
Scott Morrison alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa Australia wa thelathini Agosti mwaka jana, baada ya kura ya uongozi ndani ya chama cha Liberal, ikiwa ni baada ya machafuko ya vita vya wenyewe kwa wenyewe vya uongozi ndani chama hicho.
Share