Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Uchaguzi mkuu 2019: Scott Morrison

Waziri Mkuu Scott Morrison azungumza katika kampeni ya chama cha Liberal National

Waziri Mkuu Scott Morrison azungumza katika kampeni ya chama cha Liberal National mjini Brisbane, Queensland. Source: AAP

Scott Morrison alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa Australia wa thelathini Agosti mwaka jana, baada ya kura ya uongozi ndani ya chama cha Liberal, ikiwa ni baada ya machafuko ya vita vya wenyewe kwa wenyewe vya uongozi ndani chama hicho.


Published

By Evan Young

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Scott Morrison alichaguliwa kuwa waziri mkuu wa Australia wa thelathini Agosti mwaka jana, baada ya kura ya uongozi ndani ya chama cha Liberal, ikiwa ni baada ya machafuko ya vita vya wenyewe kwa wenyewe vya uongozi ndani chama hicho.


Bw Morrison alipewa ajira hiyo baada ya mrengo wakihafidhina wa chama hicho, kushindwa kuvumilia uwezo wa waziri mkuu wa zamani Malcolm Turnbull, kupitisha bungeni sera zake muhimu za nishati namakato ya kodi.

Tangu tukio hilo, imeonekana kama Bw Morrision ameunganisha tena chama cha Liberals, ila kuna baadhi ya wanachama ambao hawana uhakika kama atafanikiwa kuongoza chama cha mseto kupata ushindi katika uchaguzi mkuu.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now