Uchaguzi 2019: Waziri Mkuu achagua tarehe ya uchaguzi mkuu wa shirikisho

Mpiga kura aweka kura yake ndani ya sunduku la kura

Mpiga kura aweka kura yake ndani ya sunduku la kura Source: AAP

Hatimae tarehe ya uchaguzi wa shirikisho ya mwaka huu imetangazwa, uchaguzi huo utakuwa tarehe 18 Mei 2019.


Waziri Mkuu Scott Morrison alifanya tangazo hilo, asubuhi ya alhamisi tarehe 11 Aprili 2019, ikiwa ni wiki kadhaa baada ya uvumi kuhusu tawala hiyo kutawala.

Tarehe 18 Mei mwaka huu wa 2019, wa Australia watawachagua wabunge 151 katika nyumba ya wawakilishi, pamoja namaseneta 40, ambao ni nusu yamaseneta 72 wamajimbo, pamoja namaseneta wanne wanao wakilisha wilaya mbili ndani ya seneti.

Ilikuwa na wawakilishi wengi bungeni, pamoja nakuwa na uwezo wakumchagua spika, vyama vyote vinahitaji kushinda viti 77.

Kwa sasa serikali ya mseto inaviti 74 wakati chama cha Labor kina viti 69 ila, ugawanyaji mpya wa mipaka yamaeneo bunge, inamaana kwamba chama cha mseto kita ingia katika uchaguzi huu kikiwa na viti 73 ilhali chama cha Labor kitakuwa na viti 72 kabla ya uchaguzi mkuu.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service