Ila vichwa vya habari vili tawaliwa kwa maoni ya baadhi ya wagombea wa uchaguzi, yaliyo patwa mtandaoni pamoja na baadhi ya wagombea hao kujiuzulu au vyama vyao kuondoa idhini ya wagombea hao kuwakilisha vyama husika.
Uchaguzi mkuu 2019: Yaliyo jiri wiki hii

Wapira kura ndani ya kituo chakupiga kura Source: AAP
Wiki ya tatu ya kampeni za uchaguzi mkuu wa shirikisho ilianza kwaku funguliwa kwa vituo vyakupiga kura mapema, pamoja na mjadala wa kwanza kati ya mijadala mitatu ya viongozi kufanywa.
Share