Wiki ya tatu ya kampeni za uchaguzi mkuu wa shirikisho ilianza kwaku funguliwa kwa vituo vyakupiga kura mapema, pamoja na mjadala wa kwanza kati ya mijadala mitatu ya viongozi kufanywa.
Ila vichwa vya habari vili tawaliwa kwa maoni ya baadhi ya wagombea wa uchaguzi, yaliyo patwa mtandaoni pamoja na baadhi ya wagombea hao kujiuzulu au vyama vyao kuondoa idhini ya wagombea hao kuwakilisha vyama husika.
Wiki ijayo mjadala wa tatu wa viongozi utapeperushwa tarehe 8 Mei, katika kikao cha waandishi wa habari maarufu kwa jina la National Press Club.
Share






