Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Emma: "Nilipelekwa mahakamani kwa sababu ya nyumba yaku kodi"

Know your rights and responsibilities while renting

Bango la nyumba yaku kodi. Source: Supplied

Wanachama wengi wa jamii zawa Afrika wanao ishi Australia, wamepitia uzoefu wakukosa nyumba za kodi zinazo faa familia zao.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Wanachama wengi wa jamii zawa Afrika wanao ishi Australia, wamepitia uzoefu wakukosa nyumba za kodi zinazo faa familia zao.


Bi Emma (sijina lake halisi) ni mmoja wa wanachama hao ambao wamepitia uzoefu waku kosa nyumba inayo kidhi mahitaji ya familia yake.

Changamoto hiyo ilisababisha wakala wa nyumba aliyo kuwa akiishi ndani, kumpeleka mahakamani kwa ajili yaku muondoa ndani ya nyumba aliyo kuwa aki kodi.

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, Bi Emma alitufafanulia masaibu yaliyo mkumba. Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now