Emma: "Nilipelekwa mahakamani kwa sababu ya nyumba yaku kodi"

Know your rights and responsibilities while renting

Bango la nyumba yaku kodi. Source: Supplied

Wanachama wengi wa jamii zawa Afrika wanao ishi Australia, wamepitia uzoefu wakukosa nyumba za kodi zinazo faa familia zao.


Bi Emma (sijina lake halisi) ni mmoja wa wanachama hao ambao wamepitia uzoefu waku kosa nyumba inayo kidhi mahitaji ya familia yake.

Changamoto hiyo ilisababisha wakala wa nyumba aliyo kuwa akiishi ndani, kumpeleka mahakamani kwa ajili yaku muondoa ndani ya nyumba aliyo kuwa aki kodi.

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, Bi Emma alitufafanulia masaibu yaliyo mkumba. Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Emma: "Nilipelekwa mahakamani kwa sababu ya nyumba yaku kodi" | SBS Swahili