Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Kutokomeza upofu unaoepukika

Dr Jane Ohuma kutoka shirika la Fred Hollows Foundation

Dr Jane Ohuma kutoka shirika la Fred Hollows Foundation akiwa katika studio ya SBS Source: SBS Swahili

Watu wengi ni vipofu kwa sababu, hawana uwezo wa kupata huduma bora na watakazomudu za afya ya macho.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Watu wengi ni vipofu kwa sababu, hawana uwezo wa kupata huduma bora na watakazomudu za afya ya macho.


Tangu mradi huu wa msaada wa Fred Hollows umeanzishwa, tumewawezesha kuona takribani watu milioni 2.5 kwa tumia njia rahisi ya upasuaji ya dakika 20.

Idhaa ya Kiswahili ya SBS iliongea na meneja wa mradi huu wa Kenya, Daktari Jane Ohuma kutoka shirika hilo la msaada, kuhusu kazi zao kwa Afrika Mashariki.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now