Watu wengi ni vipofu kwa sababu, hawana uwezo wa kupata huduma bora na watakazomudu za afya ya macho.
Tangu mradi huu wa msaada wa Fred Hollows umeanzishwa, tumewawezesha kuona takribani watu milioni 2.5 kwa tumia njia rahisi ya upasuaji ya dakika 20.
Idhaa ya Kiswahili ya SBS iliongea na meneja wa mradi huu wa Kenya, Daktari Jane Ohuma kutoka shirika hilo la msaada, kuhusu kazi zao kwa Afrika Mashariki.
Share






