Kutokomeza upofu unaoepukika

Dr Jane Ohuma kutoka shirika la Fred Hollows Foundation

Dr Jane Ohuma kutoka shirika la Fred Hollows Foundation akiwa katika studio ya SBS Source: SBS Swahili

Watu wengi ni vipofu kwa sababu, hawana uwezo wa kupata huduma bora na watakazomudu za afya ya macho.


Tangu mradi huu wa msaada wa Fred Hollows umeanzishwa, tumewawezesha kuona takribani watu milioni 2.5 kwa tumia njia rahisi ya upasuaji ya dakika 20.

Idhaa ya Kiswahili ya SBS iliongea na meneja wa mradi huu wa Kenya, Daktari Jane Ohuma kutoka shirika hilo la msaada, kuhusu kazi zao kwa Afrika Mashariki.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service