Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Ripoti mpya yabaini kuwa kila mtoto wa pili, hukosa fursa yakupata uzoefu wa utotoni

Watoto wakiYemeni watembea juu ya ukuta, katika maeneo ya nje ya mashariki ya mji wa Sanaâ, Yemen

Watoto wakiYemeni watembea juu ya ukuta, katika maeneo ya nje ya mashariki ya mji wa Sanaâ, Yemen Source: AAP

Zaidi ya nusu ya watoto duniani wana tishwa kwa migogoro, umasikini ambao una endelea kuongezeka au ubaguzi dhidi ya wasichana.


Published

Updated

By Hannah Sinclair, Evan Young

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Zaidi ya nusu ya watoto duniani wana tishwa kwa migogoro, umasikini ambao una endelea kuongezeka au ubaguzi dhidi ya wasichana.


Hiyo ni kwa mujibu wa ripoti ya shirika la Save the Children kwa jina la End of Childhood ama mwisho wa utoto kwa tafsiri.

Katika ripoti hiyo, kuna orodha ya nchi 170 zinazo onesha mataifa ambako usalama na furaha ya utotoni inatishiwa.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now