Ripoti mpya yabaini kuwa kila mtoto wa pili, hukosa fursa yakupata uzoefu wa utotoni

Watoto wakiYemeni watembea juu ya ukuta, katika maeneo ya nje ya mashariki ya mji wa Sanaâ, Yemen

Watoto wakiYemeni watembea juu ya ukuta, katika maeneo ya nje ya mashariki ya mji wa Sanaâ, Yemen Source: AAP

Zaidi ya nusu ya watoto duniani wana tishwa kwa migogoro, umasikini ambao una endelea kuongezeka au ubaguzi dhidi ya wasichana.


Hiyo ni kwa mujibu wa ripoti ya shirika la Save the Children kwa jina la End of Childhood ama mwisho wa utoto kwa tafsiri.

Katika ripoti hiyo, kuna orodha ya nchi 170 zinazo onesha mataifa ambako usalama na furaha ya utotoni inatishiwa.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service