Hiyo ni kwa mujibu wa ripoti ya shirika la Save the Children kwa jina la End of Childhood ama mwisho wa utoto kwa tafsiri.
Ripoti mpya yabaini kuwa kila mtoto wa pili, hukosa fursa yakupata uzoefu wa utotoni

Watoto wakiYemeni watembea juu ya ukuta, katika maeneo ya nje ya mashariki ya mji wa Sanaâ, Yemen Source: AAP
Zaidi ya nusu ya watoto duniani wana tishwa kwa migogoro, umasikini ambao una endelea kuongezeka au ubaguzi dhidi ya wasichana.
Share




