Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Exclusive: Seneta Gichuhi afunguka kuhusu mapinduzi ya waziri mkuu

Seneta wa chama cha Liberal, kutoka Kusini Australia, Lucy Gichuhi akizungumza ndani ya seneti

Seneta wa chama cha Liberal, kutoka Kusini Australia, Lucy Gichuhi akizungumza ndani ya seneti Source: AAP

Malumbano ya uongozi ndani ya chama tawala, yame tikisa imani ya umma ya Australia. Wengi wao wakisema wame choshwa na mivuto, ya mawaziri ambao wanaweka maslahi yao, mbele ya maslahi ya taifa.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Malumbano ya uongozi ndani ya chama tawala, yame tikisa imani ya umma ya Australia. Wengi wao wakisema wame choshwa na mivuto, ya mawaziri ambao wanaweka maslahi yao, mbele ya maslahi ya taifa.


Wakati kundi moja la wabunge namaseneta wa chama cha Liberal, walikuwa wakiongoza kampeni yakubadili kiongozi wa chama, ambaye pia ndiye waziri mkuu wa taifa, wabunge wengine namaseneta, walijipata wamezolewa na wimbi la vurugu iliyo ibuka.

Lucy Gichuhi ni Seneta wa jimbo la Kusini Australia wa chama cha Liberal, alishuhudia kwa hali yakipekee jinsi mirengo yakulia nakushoto, ya chama tawala ilivyokuwa ikijiangamiza.

Hiki hapa kionjo cha mahojiano tuliyo fanya naye, ambapo alifunguka kuhusu yaliyo jiri wiki hii ndani ya chama tawala cha Liberal. Jiunge nasi Jumanne 28 Agosti 2018, kuanzia saa 12 jioni masaa ya mashariki ya Australia, kwa makala kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now