Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wataalam waomba tume yakifalme ianzishwe kuchunguza kamari nchini Australia

Mteja ashiriki katika mchezo wa kamari

Mteja ashiriki katika mchezo wa kamari Source: AAP

Kila unapo tazama runinga wakati wa michezo kuna tangazo baada ya lingine kuhusu kamari, na ukitembea mitaani ama hata ukiendesha gari barabarani hauta kosa kuona mabango yamakampuni ya kamari.


Published

By Peggy Giakoumelos

Presented by Gode Migerano, Mercy Baliat

Source: SBS




Share this with family and friends


Kila unapo tazama runinga wakati wa michezo kuna tangazo baada ya lingine kuhusu kamari, na ukitembea mitaani ama hata ukiendesha gari barabarani hauta kosa kuona mabango yamakampuni ya kamari.


Hali hiyo imeibua wasiwasi kuhusu uhusiano kati ya afya ya kiakili, na shida zinazo sababishwa na mchezo wa kamari huku wataalam wakiomba msaada zaidi ili waweze saidia watu walio hatarini.

Maoni hayo yametolewa wakati wataalam wa kupunguza madhara, wakishinikiza kuwepo kwa tume ya kifalme katika tasnia ya kamari.

Iwapo wewe au mtu anaye mjuwa anakabiliana na changamoto zinazo sababishwa na kamari, usiwe na hofu, kuna watu na mashirika mengi ambayo yako tayari kutoa msaada wa kila aina kukabiliana na changamoto hizo. Kwa hiyo usijihisi uko mwenyewe, pigia simu nambari hizi kwa msaada utakapo kuwa tayari, 1800 856 800 au wasiliana na shirika la lifeline kupitia namba hii 13 11 14 ambako utapata msaada unao hitaji.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now