Gwiji wa mtandao wakijamii Facebook imepigwa faini kubwa, kwaku kiuka faragha ya watumiaji wake.
Facebook imepewa faini ya dola bilioni tano, kwa ukiukwaji wa faragha jumatano tarehe 24 Julai 2019.
Uchunguzi wa tume ya biashara ya shirikisho la marekani almaarufu F-T-C, ilifikia uamuzi kwamba, Facebook ilisaliti imani ya watumiaji wake, nakuwadanganya na uwezo waku dhibiti taarifa zao binafsi.
Share






