Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Facebook yatozwa faini kwa ukiukwaji wa faragha

Mark Zuckerberg

Facebook's founder Mark Zuckerberg Source: AAP

Gwiji wa mtandao wakijamii Facebook imepigwa faini kubwa, kwaku kiuka faragha ya watumiaji wake.


Published

By Laura Baehny

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Gwiji wa mtandao wakijamii Facebook imepigwa faini kubwa, kwaku kiuka faragha ya watumiaji wake.


Facebook imepewa faini ya dola bilioni tano, kwa ukiukwaji wa faragha jumatano tarehe 24 Julai 2019.

Uchunguzi wa tume ya biashara ya shirikisho la marekani almaarufu F-T-C, ilifikia uamuzi kwamba, Facebook ilisaliti imani ya watumiaji wake, nakuwadanganya na uwezo waku dhibiti taarifa zao binafsi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now