Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Facebook yachukua hatua kabla ya uchaguzi mkuu wa shirikisho

Mteja afungua mtandoa wa Facebook kwenye simu yake

Mteja afungua mtandoa wa Facebook kwenye simu yake Source: AAP

Shirika la Facebook litapiga marufuku matangazo yakisiasa, nakuwasilisha mchakato wakutafuta ukweli wakati wa uchaguzi mkuu wa shirikisho.


Published

By Jessica Rowe

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Shirika la Facebook litapiga marufuku matangazo yakisiasa, nakuwasilisha mchakato wakutafuta ukweli wakati wa uchaguzi mkuu wa shirikisho.


Kampuni hiyo yakijamii imejipata chini ya shinikizo, kwakuto chukua hatua zakutosha kuzuia uingiliaji kati wakigeni, hususan katika chaguzi za marekani na ulaya katika miaka ya hivi karibuni.

Fergus Hanson ndiye kiongozi taasisi ya mkakati, na kituo cha usalama wa mtandaoni. Bw Hanson anahoji kama marufuku hayo ya matangazo yakisiasa yanatosha.

Bw Hanson ameongezea kuwa habari bandia, zina shambulia msingi wa demokrasia na, hatua za ziada zinastahili chukuliwa kuwalinda wapiga kura, dhidi yaku vuruga uchaguzi pamoja na maswala yauingiliaji kati wakigeni.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now