Facebook yachukua hatua kabla ya uchaguzi mkuu wa shirikisho

Mteja afungua mtandoa wa Facebook kwenye simu yake

Mteja afungua mtandoa wa Facebook kwenye simu yake Source: AAP

Shirika la Facebook litapiga marufuku matangazo yakisiasa, nakuwasilisha mchakato wakutafuta ukweli wakati wa uchaguzi mkuu wa shirikisho.


Kampuni hiyo yakijamii imejipata chini ya shinikizo, kwakuto chukua hatua zakutosha kuzuia uingiliaji kati wakigeni, hususan katika chaguzi za marekani na ulaya katika miaka ya hivi karibuni.

Fergus Hanson ndiye kiongozi taasisi ya mkakati, na kituo cha usalama wa mtandaoni. Bw Hanson anahoji kama marufuku hayo ya matangazo yakisiasa yanatosha.

Bw Hanson ameongezea kuwa habari bandia, zina shambulia msingi wa demokrasia na, hatua za ziada zinastahili chukuliwa kuwalinda wapiga kura, dhidi yaku vuruga uchaguzi pamoja na maswala yauingiliaji kati wakigeni.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service