Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Serikali ya shirikisho kutoa chanjo ya meningococcal bila malipo kuanzia mwaka ujao

Daktari atoa chanjo ndani ya zahanati mjini Canberra

Daktari atoa chanjo ndani ya zahanati mjini Canberra Source: AAP

Kuanzia mwaka kesho, vijana nchini Australia wata pata chanjo yakuwalinda dhidi ya aina nne ya ugonjwa tata wa meningococcal bila malipo.


Published

Updated

By Natarsha Kallios, Jessica Rowe

Presented by Gode Migerano

Source: SBS




Share this with family and friends


Kuanzia mwaka kesho, vijana nchini Australia wata pata chanjo yakuwalinda dhidi ya aina nne ya ugonjwa tata wa meningococcal bila malipo.


Serikali ya shirikisho ime tangaza mpango ambao unatarajiwa, kuwafikia wa Australia wapatao milioni, wenye miaka kati ya 14 na 19 katika miaka minne ijayo.

Serikali ya shirikisho iko chini ya shinikizo kuorodhesha chanjo ya aina B ya ugonjwa huo, ila chanjo hiyo haiwezi orodheshwa hadi itakapo pendekezwa na kamati ya wataalam. Kampuni ambayo inatengeza chanjo hiyo, ime hamasishwa iombe mradi wa chanjo wa taifa iorodheshe chanjo hiyo.

Mwezi jana wa Agosti kampuni hiyo ilisema ita zingatia, kuchukua hatua hiyo itakapo ona matokeo ya chanjo hiyo Kusini Australia mwaka ujao.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now