Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mvutano kuhusu mabadiliko kwa 18C waendelea

Seneta James Paterson wa chama cha Liberal anaye ongoza kampeni yaku badili sheria inayo toa kinga kwa ubaguzi wa rangi
Seneta James Paterson wa chama cha Liberal anaye ongoza kampeni yaku badili sheria inayo toa kinga kwa ubaguzi wa rangi Source: Picha: AAp

Wanasiasa kutoka pande zote bungeni wameonya kwamba mjadala kuhusu mabadiliko kwa kinga dhidi ya ubaguzi wa rangi hauja malizika.


Published

Updated

By SBS Swahlii

Source: SBS



Share this with family and friends


Wanasiasa kutoka pande zote bungeni wameonya kwamba mjadala kuhusu mabadiliko kwa kinga dhidi ya ubaguzi wa rangi hauja malizika.


Usiku wa alhamisi 30 Machi 2017, seneti ilizuia jaribio la serikali ya shirikisho, kubadili maneno yanayo unda kitengo 18C cha sheria inayo toa kinga dhidi ya ubaguzi wa rangi.

Hata hivyo wanao unga mkono mabadiliko hayo, wame sisitiza kuwa mjadala huo hauka kwisha.

 

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now