Mvutano kuhusu mabadiliko kwa 18C waendelea

Seneta James Paterson wa chama cha Liberal anaye ongoza kampeni yaku badili sheria inayo toa kinga kwa ubaguzi wa rangi

Seneta James Paterson wa chama cha Liberal anaye ongoza kampeni yaku badili sheria inayo toa kinga kwa ubaguzi wa rangi Source: Picha: AAp

Wanasiasa kutoka pande zote bungeni wameonya kwamba mjadala kuhusu mabadiliko kwa kinga dhidi ya ubaguzi wa rangi hauja malizika.


Usiku wa alhamisi 30 Machi 2017, seneti ilizuia jaribio la serikali ya shirikisho, kubadili maneno yanayo unda kitengo 18C cha sheria inayo toa kinga dhidi ya ubaguzi wa rangi.

Hata hivyo wanao unga mkono mabadiliko hayo, wame sisitiza kuwa mjadala huo hauka kwisha.

 

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service