Wanasiasa kutoka pande zote bungeni wameonya kwamba mjadala kuhusu mabadiliko kwa kinga dhidi ya ubaguzi wa rangi hauja malizika.
Usiku wa alhamisi 30 Machi 2017, seneti ilizuia jaribio la serikali ya shirikisho, kubadili maneno yanayo unda kitengo 18C cha sheria inayo toa kinga dhidi ya ubaguzi wa rangi.
Hata hivyo wanao unga mkono mabadiliko hayo, wame sisitiza kuwa mjadala huo hauka kwisha.
Share





