Mji wa Melbourne, kwa muda mrefu umejulikana, kwa kuwa mfano wa mafaniko ya jamii zatamaduni tofauti kuishi kwa umoja duniani.
Hata hivyo, ongezeko la hisia na gumzo dhidi ya uhamiaji na jamii za tamaduni tofauti mjini humo, vina tishia kuharibu sifa ya mji wa Melbourne.
SBS Swahili ilizungumza na wanachama wa jamii yawa Kenya wanao ishi mjini Melbourne, ambao kila mmoja wao anafanya kazi katika sekta tofauti, hata hivyo wote wame kabiliana na aina toafuti ya ubaguzi wa rangi mjini humo.
Share






