Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Baa la njaa la kwanza latangazwa katika miaka sita, Sudan Kusini

Mtoto afanyiwa vipimo vya afya
Mtoto afanyiwa vipimo vya afya Source: Picha: AAP

Baa la njaa lime tangazwa katika sehemu za Sudan Kusini, ambako nusu ya wananchi hivi karibuni watakabiliwa na ukosefu wa chakula.


Published

Updated

By SBS Swahili

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Baa la njaa lime tangazwa katika sehemu za Sudan Kusini, ambako nusu ya wananchi hivi karibuni watakabiliwa na ukosefu wa chakula.


Idadi ya watu wapatao milioni moja wako atharini, hali ambayo ime laumiwa kwa kuendelea kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe pamoja na mgogoro wakiuchumi.

 

 


Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now