Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

George: "Tunaomba Rais Ruto alete pamoja waliompigia kura na ambao hawakumpigia kura"

Rais Mteule wa Kenya, Dr William Ruto at0a hotuba, baada ya mahakama ya upeo kuidhinisha ushindi wake..jpg

Kenya imejipata kwenye njia panda, nusu ya nchi ikijawa furaha na nusu ya nchi ikijawa majonzi kufuatia uamuzi wa Mahakama ya Upeo ya taifa hilo.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Kenya imejipata kwenye njia panda, nusu ya nchi ikijawa furaha na nusu ya nchi ikijawa majonzi kufuatia uamuzi wa Mahakama ya Upeo ya taifa hilo.


Hakuna shaka uamuzi wa Mahakama ya Upeo, kutupa nje maombi ya mrengo wa Azimio One Kenya, kubatilisha matokeo ya uchaguzi wa rais nakuidhinisha ushindi wa Dr Ruto ume sababisha mgawanyiko katika taifa hilo la Afrika Mashariki.

Wakenya wanao ishi Australia, wamekuwa wakifuatilia kwa karibu matukio yanayo endelea nchini kwao wengi wao wakichangia hisia zao mtandaoni.

Bw George ni shabiki wa sera za rais mteule Dr William Ruto, licha yakuwa katika hali ya furaha na sherehe, amekiri Dr Ruto anakibarua kigumu kuunganisha taifa ambalo kwa mara nyingine limewaganyika kwa sababu ya matokeo ya urais. Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now