George: "Tunaomba Rais Ruto alete pamoja waliompigia kura na ambao hawakumpigia kura"

Rais Mteule wa Kenya, Dr William Ruto at0a hotuba, baada ya mahakama ya upeo kuidhinisha ushindi wake..jpg

Kenya imejipata kwenye njia panda, nusu ya nchi ikijawa furaha na nusu ya nchi ikijawa majonzi kufuatia uamuzi wa Mahakama ya Upeo ya taifa hilo.


Hakuna shaka uamuzi wa Mahakama ya Upeo, kutupa nje maombi ya mrengo wa Azimio One Kenya, kubatilisha matokeo ya uchaguzi wa rais nakuidhinisha ushindi wa Dr Ruto ume sababisha mgawanyiko katika taifa hilo la Afrika Mashariki.

Wakenya wanao ishi Australia, wamekuwa wakifuatilia kwa karibu matukio yanayo endelea nchini kwao wengi wao wakichangia hisia zao mtandaoni.

Bw George ni shabiki wa sera za rais mteule Dr William Ruto, licha yakuwa katika hali ya furaha na sherehe, amekiri Dr Ruto anakibarua kigumu kuunganisha taifa ambalo kwa mara nyingine limewaganyika kwa sababu ya matokeo ya urais. Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service