Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

George "Uzuri wa spoti ni kwamba haubagui"

Salem Al-Dawsari of Saudi Arabia.jpg

Salem Al-Dawsari of Saudi Arabia celebrates the 1-2 during the FIFA World Cup Qatar 2022 group C match between Argentina and Saudi Arabia at the Lusail stadium on November 22, 2022 in Lusail City, Qatar.

Kombe la Dunia la FIFA 2022 nchini Qatar lime ingia katika siku ya tatu, na mashabiki wamepata burudani tele katika kila mechi ambayo wametazama.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Kombe la Dunia la FIFA 2022 nchini Qatar lime ingia katika siku ya tatu, na mashabiki wamepata burudani tele katika kila mechi ambayo wametazama.


Argentina ikiongozwa na mmoja wa wachezaji bora wa muda wote Lionel Messi, wamejipata pabaya baada yaku salimu kichapo chakushtukiza kutoka Saudia Arabia.

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, mmoja wa mashabiki wakubwa wa Argentina nchini Australia Bw George, alifunguka kuhusu mechi ambazo ametazama katika kombe la dunia pamoja na matarajio yake kwa timu yake pendwa.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now