George "Uzuri wa spoti ni kwamba haubagui"

Salem Al-Dawsari of Saudi Arabia.jpg

Salem Al-Dawsari of Saudi Arabia celebrates the 1-2 during the FIFA World Cup Qatar 2022 group C match between Argentina and Saudi Arabia at the Lusail stadium on November 22, 2022 in Lusail City, Qatar.

Kombe la Dunia la FIFA 2022 nchini Qatar lime ingia katika siku ya tatu, na mashabiki wamepata burudani tele katika kila mechi ambayo wametazama.


Argentina ikiongozwa na mmoja wa wachezaji bora wa muda wote Lionel Messi, wamejipata pabaya baada yaku salimu kichapo chakushtukiza kutoka Saudia Arabia.

Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili, mmoja wa mashabiki wakubwa wa Argentina nchini Australia Bw George, alifunguka kuhusu mechi ambazo ametazama katika kombe la dunia pamoja na matarajio yake kwa timu yake pendwa.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
George "Uzuri wa spoti ni kwamba haubagui" | SBS Swahili