Germain "nataka leta aina mpya ya siasa DRC"

Bw Germain Byadunia kwenye bango pamoja na kiongozi wa UNC Mh Vital Kamerhe.jpg

Kampeni za uchaguzi mkuu zime anza katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.


Hata hivyo, ya baadhi ya wanasiasa wenye ushawishi mkubwa katika taifa hilo la Afrika ya Kati, wame sema wata susia uchaguzi huo waki ishtumu tume ya uchaguzi CENI kwa kuto zingatia demokrasia.

Wakati huo huo, wagombea wengi nchini DRC wana endelea kuweka wazi sera zao kwa wapiga kura kwa matumaini yakupigiwa kura.

Bw Germain Byadunia ni mkaazi wa Australia ambaye anawania ubunge nchini DRC kupitia chama cha UNC. Ali eleza SBS Swahili kuhusu kilicho mshawishi kuwania ubunge huo pamoja na baadhi ya sera zake.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service