Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Germain "nataka leta aina mpya ya siasa DRC"

Bw Germain Byadunia kwenye bango pamoja na kiongozi wa UNC Mh Vital Kamerhe.jpg

Kampeni za uchaguzi mkuu zime anza katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Kampeni za uchaguzi mkuu zime anza katika Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.


Hata hivyo, ya baadhi ya wanasiasa wenye ushawishi mkubwa katika taifa hilo la Afrika ya Kati, wame sema wata susia uchaguzi huo waki ishtumu tume ya uchaguzi CENI kwa kuto zingatia demokrasia.

Wakati huo huo, wagombea wengi nchini DRC wana endelea kuweka wazi sera zao kwa wapiga kura kwa matumaini yakupigiwa kura.

Bw Germain Byadunia ni mkaazi wa Australia ambaye anawania ubunge nchini DRC kupitia chama cha UNC. Ali eleza SBS Swahili kuhusu kilicho mshawishi kuwania ubunge huo pamoja na baadhi ya sera zake.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now